Home Vichekesho Ushamba wa kidonda

Ushamba wa kidonda

419
0

 

Jamaa mmoja alikuwa ni bikra, yaani hakuwa amewahi kulala na mwanamke hata siku moja katika maisha yake. Wazazi wake waliona motto wao amekuwa mkubwa na alihitaji kuwa na mke ndipo wakakata shauri wamtufutie mke.

Kijana wao hakuwa na hiyana akakubali kuoa kwa kuwa halikuwa ni jambo geni katika maisha yake kuona watu wanaoana kama desturi tu. Siku ya siku ikafika, jamaa akavuta jiko.

Miezi mitatu ilipita jamaa hajamgusa mkewe na wala hakuonyesha dalili za kutaka tendo la ndoa kutoka kwa mkewe aliyekuwa na shauku kubwa sana japo alishindwa kuomba! Kitendo hicho kilimfanyamke atengeneze mikasa na siku hiyo akaamua kukaa uchi mbele ya mumewe na kuyafungua mapaja yake kwa makusudi! Ghafla jamaa akaruka na kumfata mkewe na kwa huzuni sana akalalamika,

“Yaani mke wangu siku zote hizi una kidonda kikubwa hivi na hujaniambia?”

Maneno haya yalimuduwaza mkewe lakini hakuwa na cha kusema, hivyo kwa mapenzi ya dhati kabisa jamaa alichukua dawa ya vidonda na bandeji kisha akamfunga mkewe kwenye uke wake.

Baada ya wiki moja jamaa alifungua ile bandeji na akaona hakuna dalili za kidonda kupona, hivyo aliamua kumpeleka mkewe hospitali kutibiwa. Baada ya maelezo ya awali juu ya kidonda cha mkewe, tabibu aliduwazwa alipoona jamaa anamuamuru mkewe avue nguo ili tabibu akione kidonda. Kweli mke akavua na tabibu alivyoonyeshwa kidonda akamwamuru mgonjwa apande kitandani. Taratibuuu tabibu akashusha suruali na kuanza kula uroda huku jamaa anashuhudia. Tabibu alisikika akibwabwaja,

“Namtibu x10….”

Baada ya tabibu kutumbua maraha na mke wa mtu, mwenye mke akauliza,

“Hapo ndio ulikuwa unamtibu?”

“Ndio.”

Tabibu alijibu,

“Panda na wewe umtibu.”

Jamaa baada ya kula uroda kwa mara ya kwanza akajikuta anapagawa na kuanza kuimba huku mkewe akimwitikia,

“Nakutibu mke wangu x10…….”

“Endelea nina pona x10…”

Baada ya kumaliza, tabibu akamwambia hiyo ndiyo tiba ya mkewe na akitaka kidonda chake kipone awe anamtibu kila siku. Kutokana na raha aliyoipata ikawa kila wakikaa kidogo nyumbani, jamaa alikuwa anamwambia mkewe waingie chumbani akamtibu kidonda!

**********