Ukiwa Na Mtoto Kama Huyu Mpime DNA 
Mtoto mmoja aliulizwa na wazazi wake, “kati ya baba na mama ni nani anajiamini zaidi?” Akajibu, “mama ndiyo anajiamini sana.”
Alipoulizwa kwa nini anasema hivyo? Akajibu, “baba akisafiri mama analala peke yake, lakini baba mwoga, mama akisafiri inabidi amwombe dada walale wote!”
.





hahahahahahahahahahaha