Kumekuwepo baadhi ya tamaduni ambazo huchangia kwa kasi ya maambukizi ya UKIMWI hususani Afrika. Tamaduni hizo zimekuwa zikihusishwa na mafunzo ya unyago, jando na ukeketaji wanawake. Huko Congo kuna tamaduni za kufanya ngono hadharani kwa lengo la kudhihirisha urijali na uwezo wa vijana kufanya mapenzi.
Tatizo hili si la kupuuzwa kwani mwisho wa siku jamii zetu ndizo zinazoathirika zaidi kwani tayari umasikini umezididimiza jamii zetu na yanapotokea magonjwa ya muda mrefu kuyatibu kama UKIMWI ndipo familia zinadumbukia katika dimbwi kubwa la umasikini.
Hii Ni Video Inayoonyesha Kinaga Ubaga. Tahadhari, Kama Uko ChiniĀ Ya Miaka 18 Usiangalie tafadhari!!!!

