
Slaa Arudisha Kadi
Katika hali isiyotazamiwa na wengi katibu mkuu wa CHADEMA, Dkt. WIlbrod Slaa amejiondoa rasmi katika orodha ya wateja wa Startimes. Hali hii imetokana na kukatika kwa mawasiliano ya mara kwa mara na hivyo basi imepelekea kuwarudishia king’amuzi chao pamoja na kadi yao ya malipo.
Aidha ameonekana maeneo ya dstv jioni hii katika harakati za kupata king’amuzi kingine.
Asante!!
Ulidhani katoka UKAWA!! USIPANIC BANA!!!! SHUSHA STRESS KIDOGO!



