Kama Tanzania ingekuwa ni nchi ya wachagga pekee, leo hii Tanzania ingekuwa zaidi ya Ulaya. Mchagga mmoja alipata ajali mbaya sana ya gari iliyompelekea kupoteza fahamu. Na mara fahamu zilipomrudia tu akasema.
Mchagga: Yesuuu wangu, nipo wapi hapa?
Nesi: Upo muhimbili, umepata ajali mbaya sana na umekatika mkono.
Mchagga: Mkono ule ule niliovaa saa ya ROLEX?
Nesi: Ndio, pole sana!
Mchagga: Sasa saa yangu ipo kweli?
Nesi: Saa ipo mzee, pia mkeo na wanao wapo nje wamekuja kukujulia HALI!
Mchagga: Yesuuuuu na Maria, yaani wamefunga DUKA!
**********



