Inawezekana mtu akikuhadithia utaona kwarukwa na akili lakini huu ndio ukweli, vijana hawa walikunywa pombe kiasi cha kuanza kucheza muziki wakiwa uchi! Haya mambo hayajatokea mbali, yametokea hapa hapa Tanzania!
Katika hali ya kushangaza, vijana wanne waliamua kuvua nguo zote na kucheza uchi wakifurahia wimbo wa “NANI KAMWAGA POMBE YANGU” Huu ndio ukweli kwamba dunia inachanganyikiwa sana na imebakiza muda kidogo iokote makopo!
Shuhudia mwenyewe huu uwendawazimu!


Ulevi noma vijana wanatakiwa wawe makini ktk maisha ya ulevi ili wafanikiwe maishani.