Kuna watu wababe mitaani na kwa washikaji zao lakini wakifika hapa wanatulia. Hivi huu ni woga au mapenzi? Kuna watu wana itikadi zao ambazo zinawafanya waamini kwamba MUNGU pekee ndiye wa kupigiwa magoti! Hivyo hata ufanyaje hawawezi kumpigia magoti mwanadamu mwenzao.
Iwapo mtu anakupigia magoti ili umsamehe kwa jambo fulani ambalo anakuwa ni dhahiri kakukosea, wewe unajisikiaje? Inawezekana kuna vile utajisikia lakini uko tayari kumpigia goti mpenzi wako ili akusamehe?

limbwata
Jinga hilo
ni upuuzi
Ulimbukeni wa mpnzi huo.
WANA-ACT.
mapenzi hayo! hakuna limbwata wala nn, kuombana msamaha kitu cha kawaida katka mapenzi