Home Jamii “Nisamehe Mke Wangu, Sitarudia Tena!!!!” Huu Ni Woga Au Mapenzi?????

“Nisamehe Mke Wangu, Sitarudia Tena!!!!” Huu Ni Woga Au Mapenzi?????

780
6

Kuna watu wababe mitaani na kwa washikaji zao lakini wakifika hapa wanatulia. Hivi huu ni woga au mapenzi? Kuna watu wana itikadi zao ambazo zinawafanya waamini kwamba MUNGU pekee ndiye wa kupigiwa magoti! Hivyo hata ufanyaje hawawezi kumpigia magoti mwanadamu mwenzao.

Iwapo mtu anakupigia magoti ili umsamehe kwa jambo fulani ambalo anakuwa ni dhahiri kakukosea, wewe unajisikiaje? Inawezekana kuna vile utajisikia lakini uko tayari kumpigia goti mpenzi wako ili akusamehe?


6 COMMENTS

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here