Home Vichekesho “Nataka Kuwa Mwanajeshi!”

“Nataka Kuwa Mwanajeshi!”

593
0

Mjeda

Toto Tundu alitoka sokoni na baba yake mzazi kununua mchicha na nyanya. SI unajua tena kule kwetu kina baba ndiyo wanaenda marikiti ili wasihongwe nyama ya bure. Waki wanatembea huku mazungumzo ya hapa na pale yanaendelea, akapita mwanajeshi mmoja na mada ikabadilika;


Madenge: Baba mimi nikikua nataka kuwa mwanajeshi.

Baba Madenge: Mwanangu huogopi kwenda Darfur?

Madenge: Hata Iraq nitaenda!

Baba Madenge: Kwa nini mwanangu?

Madenge: Nataka nikipanda daladala nisilipe nauli.

Baba Madenge: Kweli hapa toto sina!

Madenge: Tena nitayafaidi yale yaendayo kasi!

**********


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here