Mwamuzi akitimua mbio.
Kuna vijimkasa ambavyo ni nadra sana kuviona hasa kwa wapenzi wa soka kutokana na mazingira vinakotokea. Mwamuzi mmoja alijikuta matatani mara baada ya kutoa kadi kwa mchezaji aliyeonyesha ubishi kutoka nje.
Baada ya kuona hivyo mwamuzi alimtandika konde yule mchezaji na akaanguka chini. Hapo ndipo siku ilipoharibika kwani wachezaji wenzake na baadhi ya mashabiki kutoka kwenye jukwaa walimfuata mwamuzi kwa lengo la kumtandika. Mwamuzi yule alivyoona hali ni mbaya akaamua kutoka mbio. Mkasa huu ulitokea Brazil
Angalia Video Hii

