Home Mbavu Zangu Mlevi Ajiita Mungu

Mlevi Ajiita Mungu

622
0

Katika hali ya kushangaza sana mlevi mmoja aliwaambia wenzake kwamba ana wasiwasi na anahisi yeye ni mungu. Walevi wenzake wakamwuliza kwa nini anahisi hivyo! Akajibu kwa sababu jana yake alipofika tu nyumbani mkewe alisema,

“mungu wangu! Umelewa tena!”

Asubuhi mkuu wa polisi alipomwona alisema,

“mungu wangu! Umeletwa tena!”

Jioni hii wahudumu walivyomwona wakasema,

“mungu wangu! Umekuja tena!”

Hapo ndipo nikapata mashaka huenda mimi ni mungu! CHEZEA POMBE WEWE!