Home Picha Muhimbili Yauguzia Wagonjwa Nje!

Muhimbili Yauguzia Wagonjwa Nje!

446
0

Kwa kile kinachoelezwa kupisha zoezi la upulizwaji wa madawa ya kuua wadudu na mazalia yake katika wodi za wagonjwa za Kibasila na Mwaisela, hospitali ya Muhimbili ililazimika kuwalaza nje wagonjwa ili kupisha zoezi hilo. Hali hii iliwashtua wengi kutokana na ukweli kwamba, kulaza wagonjwa nje ni hatari kwa afya zao! Lakini jambo hili linaweza kuonekna ni la kupuuzwa, huu ni ukweli kwamba bado sekta ya afya ina mahitaji makubwa sana ili kukidhi mahitaji ya Watanzania.mh8

mh7

mh4

mh3

mh2

mh


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here