Wakati fulani ni jambo la kheri kuambizana ukweli. Tatizo ambalo husababisha watu wengi kuumia ni baadhi ya wanaojua ukweli wa jambo fulani kuamua kukaa kimya kwa sababu zao tofauti tofauti. Ukweli ni kwamba, kila jambo ambalo ni la msingi kabisa ni sharti lifahamike kwa wote.
Katika msimu huu wa mfungo kwa ndugu zetu waislamu, kuna mambo mengi wanajizuia kuyafanya ili funga zao ziwe na thawabu kwa Mungu wao. Hebu ona shekhe anavyoendelea kuwapa nasaha wana mfungo!

