Mwana mazingaombwe wa Uingereza aitwae Dynamo ameonekana akipaa angani huku akiwa ameshikilia basi linalotembea. Dynamo ameshika basi la mji wa London na kuwaaacha watalii na wakazi wa London wakizubaa. Dynamo ana umri wa miaka 30. Angalia video ujionee maajabu ya dunia!
Angalia Video

