Sakata la kodi ya kadi ya simu limeendelea kuwakuna wanasiasa wetu ambao wamekuwa wakifunguka kwa nyakati mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii….
Baada ya January Makamba, Zitto kabwe naye amefunguka na kudai kuwa kodi hiyo ni batili na ilipitishwa kinyemela kwa sababu ilikuwa imeshaondolewa….

Baada ya kauli hiyo,Zitto Kabwe aliandamwa na maswali mengi sana toka kwa wananchi wakidai kuwa “Makamba alisema tuwalaumu ninyi maana ninyi wabunge ndo mlibariki kodi hii”
Zitto naye alijibu swali hilo kwa kuwataka wananchi “wachukue simu zao, wawapigie wabunge wao wawaulize ni kwa nini walipitisha kodi hii!”

