Home Siasa January Makamba Amshushia Lawama Zitto Kabwe Na Wenzake Kwa Kupitisha Kodi Ya...

January Makamba Amshushia Lawama Zitto Kabwe Na Wenzake Kwa Kupitisha Kodi Ya Kadi Za Simu

380
0

Sakata  la  kodi  ya  kadi  ya  simu  limeendelea  kuwakuna wanasiasa  wetu  ambao  wamekuwa  wakifunguka  kwa  nyakati  mbalimbali  kupitia mitandao  ya  kijamii….

Baada  ya  January  Makamba, Zitto  kabwe  naye  amefunguka  na  kudai  kuwa  kodi  hiyo  ni  batili  na  ilipitishwa  kinyemela  kwa  sababu  ilikuwa  imeshaondolewa….

zito Kabwe
Kipachiko Cha Zitto Kabwe Facebook

Baada ya  kauli  hiyo,Zitto  Kabwe  aliandamwa  na  maswali  mengi  sana  toka  kwa  wananchi  wakidai  kuwa  “Makamba  alisema  tuwalaumu  ninyi  maana  ninyi  wabunge  ndo  mlibariki  kodi  hii”


Zitto  naye  alijibu  swali  hilo  kwa  kuwataka  wananchi  “wachukue  simu  zao, wawapigie  wabunge  wao  wawaulize  ni  kwa  nini  walipitisha  kodi  hii!”

zito Kabwe1
Majibu ya Kabwe baada ya maswali makali kutoka kwa wadau wake

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here