Jambazi Na Milioni 50
Katika pitapita za jambazi mmoja usiku akitafuta windo alisikia watu wakibishana ndani ya nyumba moja. Walikuwa wanabishana kwa sauti kubwa huku mmoja akisema, “hizi milioni 50 ziweke kwa Nathan”.
Mwingine akasema, “hapana tuziweke benki”. Jambazi kusikia hivyo akaamua kuvunja mlango. Ile kuingia ndani akakuta wanafunzi wanasolve maswali ya Book-keeping! Kwa hasira akasema, “naomba maji ya kunywa, nadhani nimepotea”. Hihihihihihihihi, jambazi huyu hajui kabisa kunusa hela, hela huwa zinanukia.




