Home Vioja Huyu Trafiki Ni Feki, Si Rahisi Kumshtukia | Ni Kweli Yametokea

Huyu Trafiki Ni Feki, Si Rahisi Kumshtukia | Ni Kweli Yametokea

524
1

Kwa tafsiri rahisi, kazi hii ndio ameiona ni rahisi kwake kupiga ‘magumashi’ kuliko kazi nyingine zozote za kitapeli. Jamaa huyu alidakwa na polisi akijifanya yeye ni trafiki mwadilifu! Kwa kweli Bongo kuna vimbwanga, huyu Trafiki feki pichani anaonekana kupendeza utadhani ni trafiki kweli; na tena begani amejipachika V 3 na faili lake mkononi.


Hapo pichani ni kituo cha polisi Sitaki shari alipofikishwa baada ya kukamatwa huko Tabata Kinyerezi akila vichwa. Inasemekana ameifanya kazi yake kwa siku kadhaa mpaka 40 zake zilipofikia akadakwa! Kuna mengi ya kujiuliza ila swali la msingi ni hili:

Kwa nini hajavamia kazi nyingine akakimbilia Utrafiki?

HATARI SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

**********

1 COMMENT

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here