Mama Safi wa Tandika dar es Salaam, mganga wa jadi akiwa na mtangazaji wa CNN na mwenyeji!
Sehemu nyingi duniani zimekuwa zikisifika kwa tamaduni zao au mambo yao ya kipekee ambayo huwezi kuyapata pahala pengine duniani. Tangu mauaji ya mazeruzeru yashike kasi nchini, tumekuwa na utambulisho wa kishirikina duniani kote.
CNN waliamua kufanya utafiti juu ya imani za Kitanzania na kuona ni kwa nini Watanzania wanakuwa washirikina sana. Je, ni wangapi mmewahi kwenda kwa waganga kupata tiba na mkafanikiwa? Tufahamishe ni tiba gani na ilikusaidiaje! Hii ni kwa lengo la kutaka kujua uzuri na ubaya wa tiba zetu za asili!
Kama Hukuona Kipindi Hiki Kikiruka CNN, Bofya Hapo Chini
Sehemu Ya Kwanza
Sehemu Ya Pili
Sehemu Ya Tatu
