Shekhe mmoja wakati akitoa muhadhara kwa waumini wake alijikuta akimwaga mchele kwenye kuku wengi kwa kuthibitisha dhahiri bila shari kwamba yeye anapenda mijimama iliyonona! Kumekuwa na hulka ya mabinti kujikondesha ili wawe na maumbile membamba wenyewe wanayaita ‘vipotabo!’ Haya si maneno yangu mshuhudie wewe mwenyewe!

