Home Vichekesho Hizi Mila Nyingine Sio Nzuri

Hizi Mila Nyingine Sio Nzuri

758
0

Hizi Mila Nyingine Sio Nzuri

mila

Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kuwa baada ya kuzika mzee wa kimila huwa anaamka na kutangaza atakayefata kufa mkiwa bado eneo la kaburi. Mzee huyo alipoamka akasema mtu wa kwanza kutoka eneo la kaburi ndio atakayefata kufa??.

Leo siku ya tatu bado tunazunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee…kweli kifo sio kizuri…?

Chezea Mila weye……….!!!!!!!!!?

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here