Moja ya barabara za Dar es Salaam zikipigwa deki kwa ajili ya maandalizi ya kumpokea Rais Obama wa Marekani.
Ujio wa Obama ulikuwa na mengi kwani hii ni moja ya picha zilizopigwa katika barabara za jiji la Dar es Salaam zikionyesha jinsi usafi wa kiwango kisicho cha kawaida ambapo barabara ilipigwa deki. Hiki ni kioja cha karne na inawezekana ukanona ni jambo la kawaida lakini hii ilikuwa kali sana!
