
Picha ya anayedhaniwa kuwa ni msanii chipukizi Balobalo
Kulisikika skendo kadha wa kadha kwamba Diamond aliiba nyimbo za wasanii Baba Levo na Dyna. Ishu hiyo imezua vunjambavu kwani msanii mmoja anayejiita Balobalo ameto remix ya wimbo wa ‘My Number One’ wa Diamond.
Kinachofanya tukio hili kuwa kioja si kuibwa kwa wimbo bali ni jinsi mashairi ya remix hiyo yalivyotengenezwa. Huna haja ya kupoteza muda wako sana hebu sikiliza remix hiyo. Wanasema mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe!
Sikiliza Wimbo Huo Hapa!

amezoea kuiba nyimbo huyo!!!!!!!!!!! akome.