Home Mbavu Zangu Chizi Apiga Simu Milembe!

Chizi Apiga Simu Milembe!

533
0

Chizi mmoja alipiga simu milembe na mazungumuzo yao yalikuwa hivi;
CHIZI : Helo!! Hapo ni milembe?
MAPOKEZI : Ndio nikusaidie nini?
CHIZI : Naomba uniangalizie chumba namba 17 kama kina mtu!
MAPOKEZI: Sawa, subiri kidogo!

Baada ya muda kidogo,

MAPOKEZI: Hapana! Hakina mtu!
CHIZI : Ahaaa! Vizuri,  nilikuwa nahakikisha kama kweli nimetoroka au bado nipo!

**********