Chizi mmoja alipiga simu milembe na mazungumuzo yao yalikuwa hivi;
CHIZI : Helo!! Hapo ni milembe?
MAPOKEZI : Ndio nikusaidie nini?
CHIZI : Naomba uniangalizie chumba namba 17 kama kina mtu!
MAPOKEZI: Sawa, subiri kidogo!
Baada ya muda kidogo,
MAPOKEZI: Hapana! Hakina mtu!
CHIZI : Ahaaa! Vizuri, nilikuwa nahakikisha kama kweli nimetoroka au bado nipo!
**********



