Home Vioja BBA Hatari Mtupu | Nando Aambulia Gonjwa La Zinaa Kutoka Kwa Selly

BBA Hatari Mtupu | Nando Aambulia Gonjwa La Zinaa Kutoka Kwa Selly

394
0

Akiongea  kwa  uchungu  na  huzuni  mbele  ya  Bimp,Nando ambaye  ni Mshiriki wa Tanzania  amemlaani  mshiriki wa  Ghana  kwa  kumwambukiza  GONJWA LA  ZINAA… Nando  amelinyaka  gonjwa  la  zinaa  maarufu  kwa  jina  la  “Chlamydia”  na  hivi  sasa  yuko  katika  dozi.Gonjwa  hilo  amelinasa  baada  ya  kungonoka  na  SELLY   bila  KONDOMU…..

Kwa  nini  Nando  hakutumia  Kondomu?

Akiongea  na  Bimp ambaye  ni  mshiriki  toka  Ethiopia, Nando  amekaririwa  akidai  kuwa Selly  aligoma  kutumia  kondomu. Kwa  kuwa  alikuwa  na  HAMU  na  tayari  stimu  zilikuwa  juu , Nando  anadai  kuwa  hakuwa  na  jinsi  zaidi  ya  kulikamua   TUNDA    bila  kulimenya….

nando 2

Namkariri:
“….You know I hate that bi*ch !
I’m f*cking frustrated cos that bi*ch *Selly* gave me STD! That’s why my blood pressure was high yesterday……!”

“….. Unajua namchukia huyu malaya! Nimepagawa sana kwa ajili yake, Selly kaniambukiza ugonjwa ya zinaa! Ndio maana shinikizo langu la damu lilipanda sana jana…….!”

Kama anachokiongea ni kweli basi inawezekana jumba hili la ‘zinaa’ litaangamiza wengi! Sina hakika kama washiriki wakitaka kuingia mjengoni ni lazima wachunguzwe afya zao ili kujua kama wana magonjwa yanayoambukiza na kama hawafanyiwi vipimo basi huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mchezo mchafu kama ule unaoitwa Big Brother Africa ambao kwa upande wangu sioni cha maana wanachokifanya zaidi ya kufanya ngono!


Kuna haja ya Tanzania kuangalia upya uamuzi wa kupeleka washiriki kwani mara zote kila anayeenda huko hutaka akitoka awe maarufu kitu kinachoweza kumpelekea akafanya vioja ili avute akili za watazamaji. Pia kimaadili sidhani kama BBA inataswira chanya kwa watoto wetu. Inawezekana kabisa wapo wanaofurahia kuangalia mchezo huu ila siamini kama una manufaa makubwa kuliko maafa unayoyaleta kwa jamii! Ifikie hatua tusiige kila kitu kinachofanywa na watu ‘weupe’!

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here