
Anunua Nguo Mpya Akiwa Uchi
Ushawahi kushuhudia mteja aliye uchi? Niko kwenye baa moja hapa nimekaa napiga kitu laini cha Serengeti Lite. Namwona demu mkali anahudumia wateja. Nimempiga tip kisha nikatupia maneno mawili matatu ili nikajivinjari. Ananiambia namtaka wa nini wakati nimevaa pete ya ndoa. Nimemwuliza kama yeye akienda dukani kununua nguo mpya huwa anaenda bila nguo?
Naona anacheka sanaaaaaaaaaaaaaaa, kanielewa ananiandikia namba yake ya simu huku ananiambia leo hii zamu yake inaisha saa nne. Napiga bia kadhaa kivivu hapa nasubiri saa nne ifike. Sitaki ujinga usawa huu!!!
😆
 😀




