Ajali mbaya imetokea katika maeneo ya External Dar es Salaam alipogongwa na gari na kwa taarifa ambazo hazijthibitishwa na matabibu, kijana huyu alifariki pale pale. Kwa picha zaidi peruzi hapo chini! Tahadhari, picha hizi zinatisha.
Peruzi Hapa Kuona Picha Zaidi: Ajali yaua tena Dar
