Home Picha Boeing 777 Yaanguka Kwa Obama | Watu Kadhaa Wafariki

Boeing 777 Yaanguka Kwa Obama | Watu Kadhaa Wafariki

348
0

Ndege ya Asiana Airlines iliyokuwa ikitokea Korea ya Kusini imeanguka muda mfupi ilipokuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa San Fransisco.

Plane-SF-burned-76

SF-Asiana-plane-crash-76


Mpaka sasa inakadiriwa watu watatu wamefariki na inasemekana gia ya kushushia ndege inasemekana ilipata matatizo. Watu zaidi ya 40 wamejeruhiwa na uchunguzi unaendelea!

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here