Ndege ya Asiana Airlines iliyokuwa ikitokea Korea ya Kusini imeanguka muda mfupi ilipokuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa San Fransisco.
Mpaka sasa inakadiriwa watu watatu wamefariki na inasemekana gia ya kushushia ndege inasemekana ilipata matatizo. Watu zaidi ya 40 wamejeruhiwa na uchunguzi unaendelea!


