Kumekuwa na maneno ya shombo sana, Obama atatusaidia nini akija Bongo, ohoo! Mara vile, kaja kutuibia na mengine mengi sana. Mbona wabongo mnapenda sana vya kupewa? Licha ya yote ambayo kayafata Bongo kikubwa nilichogundua jamaa katupa BONGE LA PROMO. Zaidi ya media 40,000 duniani zitazungumzia safari hii ya Obama Tanzania. Kwa watu wanaojua kufikiri na kusaka masoko hili ni bonge la promo.
Kama kichwa chako kinachemka anza kufikiri kutengeneza chapaa kwa ujio wa Obama at least watu wanajua sasa duniani kuna kitu inaitwa Danganyika! Unataka aje akugawie pesa kijijini kwenyuuuuuuuuuu? Shuhudia PROMO HILI LA BBC TOKA KWA SALIMU KIKEKE!
