Maiti akitolewa katika sanduku ili apandishwe kwenye daladala.
Aidha kutokana na ukata wa maisha na uaghari uliopo wa kusafirisha maiti endapo kuna mtu kafariki anatakiwa kusafirishwa kwa mazishi kwenda kuzikwa. Katika kile kinachoonekana ni kioja, kuna jamaa waliamua kumpakia maiti wao kwenye daladala ili kupunguza gharama. Unaweza kuangalia picha nzima kwenye video yake!

