Mkenya aliyeumizwa na kitendo cha Obama kuiruka Kenya
Katika kile kinachodaiwa wivu wa Obama kuipendelea Tanzania na si Kenya, kumekuwako manung’uniko makubwa sana kwa Wakenya wengi juu ya hatua ya Rais Obama kuzuru Tanzania na si Kenya kwa mara nyingine tena alipofanya ziara Afrika.
Mara baada ya Ikulu ya Marekani kutangaza kwamba Rais Obama atafanya ziara nchini Tanzania na nchi nyingine mbili za Kiafrika, Wakenya wamekuja juu na kuuponda uamuzi wake huo wa kuizuru Tanzania na si Kenya. Katika video hii, jamaa aonyesha ni jinsi gani kitendo cha Barack Obama kutokuja Kenya kinavyomkera. Unapenda kuona mwenyewe?
Peruzi Hapa: Jamaa Aponda Obama Kuiruka Kenya
