Huu Ni Uchawi Au Utajiri?
Hili eneo bado halijafahamika. Na haifahamiki kama huu ni utajiri wa mafuta na gesi au uchawi.Kumekuwa na tetesi kuwa ni aina fulani ya ushirikina lakini wengine wanasema haya ni mafuta yanayolipuka toka ardhini huko Kifanya, Njombe. Mimi nina asili ya Njombe sijawahi kusikia uwepo wa eneo hili labda kama limevumbuliwa hivi karibuni. Hata mimi sijui ni nini ila kama una hakika na unafahamu hili ni jambo gani la linatokea wapi unaweza kutufahamisha kwa kucomment hapo chini!

