Home Vichekesho Wazee Wa Kichaga Ni Noma Kweli

Wazee Wa Kichaga Ni Noma Kweli

568
0

Wazee Wa Kichaga Ni Noma Kweli

mchaga

Mzee mmoja alikuwa anapita mbele ya benki fulani hivi hapa Moshi kila siku na kupiga honi. Ilikuwa akitoka askari wa zamu kulinda pale benki, yule mzee anaondoa gari lake.  Jambo hilo lilikuwa linamkera sana askari mlinzi.

Yule askari akawa anamvizie mzee aje tena. Siku alipokuja tena yule askari akafanikiwa kumkamata yule mzee na kumwuliza, “kwa nini kila siku unakuja unapiga honi na kukimbia?”

Mzee akajibu, “haki ya mungu babangu, nina pesa zangu katika akaunti hapa  benki, naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!”

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here