SIFA 10 ZA MWANAUME AMBAYE KILA BINTI ANAYETAKA KUOLEWA ANGEPENDA AOLEWE NAYE
- Awe na pesa nyingi
- Siyo lazima awe mzuri wa sura but most of times awe handisome
- Ajenge ukweni na sio kwao
- Awe mpole
- Asimuonee wivu mke wake
- Awe mwenye upendo wa dhati
- Asishike simu ya mke wake.
- Akimkuta na mwanaume apite tu, akitaka kujua ni nani asubiri nyumbani napo asiulize ila mpaka mkewe aamue kumwambia
- Awe anamskiliza mke wake kwa kila kitu.
- Asitamani mwanamke mwingine zaid yakeUKIMPATA MWANAUME MWENYE SIFA HIZO KAPIME DNA LAZIMA ATAKUWA NI BABA YAKO.



