Katika sehemu ambayo haijatajwa, watu kadhaa wanadaiwa kupoteza maisha mara baada ya dereva wa gari lililokuwa likitumika kuwasafirisha kushindana na maji yaliyofurika juu ya daraja. Gari hilo lilikuwa limeandikwa kwa kimombo Paradise in Heaven yaani Paradiso Mbinguni walijikuta wakienda Paradiso kama walivyokusudia.
Angalia video Hii!

