Home Jamii Mkemia Mkuu Na 49% Kavuruga Watu!

Mkemia Mkuu Na 49% Kavuruga Watu!

457
0
mkemia
Ona sasa vile hili jamaa linavyohangaika namna hii halafu linapokea ripoti ya mkemia mkuu ya 49%

Mkemia mkuu kweli kavuruga watu wengi na 49% kwani leo hii magazeti yote yameshadadia ripoti hiyo kwa nguvu sana na kwa nini usiogope?

Mzee mmoja leo hajaenda kazini na amekuwa na kazi ya kukagua watoto wake kwa kuangalia kucha, vidole, midomo, kitovu, miguu, nywele na kile mabacho hakifanani na yeye alikuwa anaweka X kwenye paji la uso la kila mtoto.

Watoto wakawa wanamwuliza baba yako, “kuna nini?” na yule mzee akajibu, “ngoja mama yenu aje”huku anatiririkwa na machozi.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here