
Mkemia mkuu kweli kavuruga watu wengi na 49% kwani leo hii magazeti yote yameshadadia ripoti hiyo kwa nguvu sana na kwa nini usiogope?
Mzee mmoja leo hajaenda kazini na amekuwa na kazi ya kukagua watoto wake kwa kuangalia kucha, vidole, midomo, kitovu, miguu, nywele na kile mabacho hakifanani na yeye alikuwa anaweka X kwenye paji la uso la kila mtoto.
Watoto wakawa wanamwuliza baba yako, “kuna nini?” na yule mzee akajibu, “ngoja mama yenu aje”huku anatiririkwa na machozi.
