Mzee mmoja alikuwa ana ukame wa muda mrefu sana hajafanya ngono na mwanamke. Katika kupitia pitia vijarida akakuta kijarida kimoja kinaelekeza namna ya kupiga punyeto. Kwa kuwa alikuwa na ukame na hakuwa na hakika ya kupata demu kirahisi aliamua kwenda kufanya jaribio la kupiga nyeto.
Zoezi lilienda kwa ufanisi na baada ya muda yule mzee akamwaga mavituziiiiiii! Lile bao lake likamwagikia sakafuni. Kwa bahati mbaya wakati anataka kutoka bafuni akalikanyaga bao lake akateleza na kuangukia mkono! Kwa hasira yule mzee maneno yakamtoka, “Shenzi sana wewe, bora nimekuwahi kukuua bado kinda mwana izaya mkubwa! Sasa ungezaliwa si ungeniua kabisa senge weee!”
**********



