Home Vichekesho Haibebi!!!!!

Haibebi!!!!!

862
0

minibus

Sista du mmoja alikatiza mitaa ya kariakoo na kutokea kituo cha daladala cha magari yaendayo Mwenge kupitia Sinza! Alipofika kituoni akakuta gari moja liko tupu akaamua kupanda!

Baada ya dakika kadhaa konda wa daladala hilo alimfuata yule mwanadada na kumwambia;

Konda: Hai bebiii!


Sista du: (Kimya huku akitikisa kichwa)

konda: Hai bebiiiiiii!

Sista du: Hebu nitolee kelele zako kwa salamu ni lazima!

Konda: Sijakusalimu, nimekwambia daladala haibebi!


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here