Mwalimu mmoja alikuwa anawafundisha wanafunzi wake namna ya kuunda setensi kutokana na misamiati mbalimbali. Akawa ametoa msamiati TUMAINI kisha akawaambia wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia neno hilo.
Katika hali ya kushangaza, mwanafunzi mmoja wapo alitunga sentensi hii:
‘TUMAINI TWA KUKU NI TUTAMU KULIKO TWA MBUZI’
**********




Ni kwel ndugu if hatuta change direction