Home Vichekesho Kwa Mtaji Huu Tutaweka Hadi Divisheni 10 !!!

Kwa Mtaji Huu Tutaweka Hadi Divisheni 10 !!!

456
1

Mwalimu mmoja alikuwa anawafundisha  wanafunzi wake namna ya kuunda setensi kutokana na misamiati mbalimbali. Akawa ametoa msamiati TUMAINI kisha akawaambia wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia neno hilo.

Katika hali ya kushangaza, mwanafunzi mmoja wapo alitunga sentensi hii:

‘TUMAINI TWA KUKU NI TUTAMU KULIKO TWA MBUZI’

**********


1 COMMENT

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here