Home Video Madume Yatoana Ngeu, Kisa Mwanamke! | Kila Dume Ladai Ni Mkewe!

Madume Yatoana Ngeu, Kisa Mwanamke! | Kila Dume Ladai Ni Mkewe!

458
0

Mpango-wa-kando

Mwanamke Huyo Pichani Ndiye Aliyewafanya Wanaume Wakapasuana Huko Mombasa

Bado dunia imeendelea kushuhudia mikasa na vioja vya kufurahisha na kuhuzunisha pia ambako wanaume wawili huko Mombasa wamejikuta wakipasuana baada ya kugombea mwanamke.

Mwanaume wa kwanza anadai amekuwa na mwanamke huyo tangu 2011 na wamezaa mtoto mmoja wakati mwanaume wa pili aliwaacha hoi aliposema kamwoa mwanamke huyo kwa muda mrefu na wana watoto wapatao watano sasa.


Cha kustaajabisha mwanamke huyo amemkana mwanaume anayedai kuzaa naye mtoto mmoja kwa madai kwamba amekuwa akimsumbua tu na si mume wake. Lakini majirani wamekuwa wakieleza kuwa wawili hao wamekuwa na mahusiano na hii ni kutokana na shughuli za mumewe wa halali ambaye ni mfanyabiashara hivyo mara nyingi anakuwa katika shughuli zake.

Mwanamke mmoja aliongeza kuwa wanawake wa sasa hawajali kama ni mume wa mtu au laah! Kikubwa watongozwe tu na kuonyeshwa noti wanaachia mchezo!

Shuhudia Video Yake!


LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here