Home Vichekesho Omba Utapewa Uache Kuvunga! | Vitabu Vya Imani Vinapotumiwa Vibaya

Omba Utapewa Uache Kuvunga! | Vitabu Vya Imani Vinapotumiwa Vibaya

405
1

Sijui kwa nini wanaume wakinunua magari wanakuwa wanafanya sana ngono kiholela. Na jambo jingine la kushangaza sijui kwa nini wanawake wengi wanapenda kuvuliwa chupi na wanaume wenye magari. Hii kibongo bongo imethibitishwa kabisa Kisayansi. Hali hii imepelekea mpaka wanaume wanadiriki kuazima au kukodisha magari ili wawanase baadhi ya mabinti ambao wamekuwa wakiwafukuzia kila siku bila mafanikio. Sijui nani kasema kila mwenye gari ana hela watu kwa kupenda vya dezo!

Jamaa mmoja aliyekuwa anamiliki kijigari chake kidogodogo alikuwa anapenda sana ngono. Kutokana na kumiliki gari kwake ilikuwa ni silaha ya Nyukilia ya kuwanasa mademu! Katika pitapita zake siku moja asubuhi alimkuta sista mmoja anasubiri gari ili awahi kanisani! Jamaa macho yakamtoka akaamua kumpa lifti yule sista!


Jamaa: Unafika wapi?

Sista: Kanisani hapo mbele.

Jamaa: Naelekea maeneo hayo, panda nikupeleke!

Sista: Asante sana na ubarikiwe mtu wa Mungu!

Sista akapanda siti ya mbele, jamaa kwa sababu alikuwa ameshamtamani yule sista akaanza mbwembwe  kila akiingiza gia mkono unapitiliza mpaka kwenye mapaja ya yule sista! Mchezo huo uliendelea na sista akashindwa kuvumilia akaamua kufunguka.

Sista: Soma Mathayo 7:7!

Baada ya kuambiwa hivyo yule jamaa akanywea kabisa kwa hofu na hakuongea kitu chochote mpaka kanisani kisha akamshusha sista. Akili zake zilikuwa zina shauku kubwa sana ya kutaka kujua Mathayo 7:7 ilikuwa inasemaje, hivyo akatimua mbio mpaka kwake ili akasome Biblia. Alipofika kwake akafungua Biblia na kukutana na maneno haya, “Ombeni, nanyi mtapewa,tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa”! Jamaa akajisikitikia sana akajisemea, “Duh! Kwa kutokusoma kwangu Biblia nimeikosa k**a ya sista k*****e!”


1 COMMENT

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here