Home Vioja Mtoto Abakwa Na Kutiwa Muwa! | Ni Uharamia Wa Kitisha

Mtoto Abakwa Na Kutiwa Muwa! | Ni Uharamia Wa Kitisha

471
1

mtoto abakwa

mtoto abakwa1

mtoto abakwa2

Vanusia Silva Pereila mdada mwenye miaka 9 mkazi wa kijiji kimoja nchini brazil,mapema wiki hii amebakwa karibu na shamba la miwa na watu wanaoaminika kuwa ni watumiaji wa madawa ya kulevya na kufanyiwa ukatili uliopelekea kifo.


Baba mzazi wa Vanusia, Wilson alisema binti yake alichagua marafiki wabaya wa kushiri naye na hayo ndio matokeo yake!

1 COMMENT

  1. Kwa kweli watu wamekuwa wabaya kuliko hata wanyama, mwenyezi Mungu tusaidie kulinda watoto wetu,lakini hawa watu wakikamatwa na wauwawe kinyama wao pia

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here