Unajua nini, watu hawakunyimi maneno! Siku zote sina habari, huyu dada kapotea kwenye muziki kumbe kaokota dhahabu Kariakoo!
Ukikaa unasikia vile mara hivi na si kwa ubaya, ni kweli watu wanaongea lakini sijui ni kwa sababu wanapenda kuongea au ni mazungumuzo tu ya kawaida! Hongera Dr. Regnard Mengi na Kylin kwa kuwa na familia! Hakuna kisichowezekana chini ya jua isipokuwa kutokufa tu baada ya kuzaliwa kama wewe sio mtume au nabii!

Hii Hapa Ni Tweet aliyoituma Kylin


