Home Jamii Ujasiri Ni Kuzungumuza Yale Yaliyomo Moyoni | Sikiliza Hii

Ujasiri Ni Kuzungumuza Yale Yaliyomo Moyoni | Sikiliza Hii

403
0

Imekuwa ni jambo la kawaida katika mahaba kwa mwanaume kumwambia vyovyote atakavyo mpenzi wake yaani mwanamke. Lakini mara nyingi wanawake wamekuwa wakigubikwa na aibu na kushindwa kuelezea hisia zao kwa wapenzi wao. je, ni umalaya au ukware kwa mwanamke kumweleza mpenzi wake kama anajisikia kumhitaji kimahaba? Swali hili linaweza kujibiwa tofauti tofauti na watu kutokana na mitazamo siku zote kutofautiana.

Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi ukiwa na uhusiano na mtu kimapenzi na huyo mtu asiwe rafiki yako ni ngumu sana kumweleza hisia zako na ndio maana watu wamekuwa wakitoka sana nje ya mahusiano yao pengine kwa sababu ya kuwa ‘treated’ kama ‘stranger’ na si ‘friend’. Nimewahi kushuhudia watu kadha wa kadha wana wake zao lakini wakipakiana kwenye magari yao asubuhi, hawaongei kitu mpaka wanaposhuka! Huku si kuchokana bali ni kuwa katika mahusiano wakati hamko marafiki.

Ninachoamini kama uko katika mahusiano, mwanamke pia ana haki ya kukueleza wewe mwanaume vile anajisikia, vile anataka umfanyie nakadhalika. haya ndio mahaba bwana! Wadukuzi wetu walinasa moja ya simu ambayo ilikuwa inahusisha wapenzi, isikilize uone jinsi huyu mwanamke alivyoshujaa mbele ya mpenzi wake!

Onyo: Hakikisha una umri wa mika 18 au zaidi kusikiliza mazungumuzo haya!



LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here